Duration 7:29

JIFUNZE kupika halwa/haluwa tamu sana nyumbani kirahisi | Homemade omani halwa

27 741 watched
0
1.2 K
Published 26 Jul 2020

3 cups water 4 cups brown sugar pinch of saffron mixed with 2 tbsp rose water pinch of orange and red food coloring mix well when it's about to boil add 1tsp nutmeg powder 1 & 1/2 tsp cardamom powder Let it boil 2 minutes Add mixture of 2 cups tapioca flour 1 cup water mix well keep stiring continuously for about 25 mins Gradually add 1 cup mixture of ghee and oil add almonds and cashewnuts it took me about an hour to cook the halwa

Category

Show more

Comments - 86
  • @
    @omantelomantel54283 years ago Daah Leo ndio naona haluwa unavyo pikwa cjawahi kuona Mashaallah 2
  • @
    @simplykulthum81904 years ago Ma Sha Allah this halwa recipe is easy lots of luv ❤ 5
  • @
    @shampianna924 years ago MashaAllah your channel is so nice.Shukran for the amaizing recipes
  • @
    @abdulomar51474 years ago Thank you so much for the recipe... Mungu akuhifadhi...natamani ku uma simu yangu nionje ...
  • @
    @siriyangu47244 years ago Mashallah ni zury na uo unga wa muhogo waweza tengeza kutumia mihogo yenyewe kama sehemu uko hakuna iyo unga
  • @
    @zuracurie17494 years ago Unga wa Mihogo..Masha Allah...sikujua. 1
  • @
    @hermandemello22003 years ago Ty my dear Mapishi Rahisi for the awesome lovely haluwa recipe n supper results I'm pleased and happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow 1
  • @
    @supamaridadi65884 years ago Wowww yaani hutumiii machine aaaaaaaau rahisi nitajaribuu
  • @
    @leilamehbub9484 years ago Aslm Alkm mashAllah u r always my role model is unga ya muhogo same na corn flour Sana naona wapishi hutaja hii Kuna na ni nn hufanya haluwa kuwa soft Sana ambaye sio nzuri advice me sis na Allah Akubariki Sana thanks
  • @
    @supamaridadi39004 years ago Mashaallah na like video Mashaallah mungu Akubariki lakini waeza kueka kikombe 2
  • @
    @timaanwar91334 years ago Aslm aleikm shukran kwa halwa soo easy mashallah. Nauliza huu unga wa muhogo ni swa na unga wa 'wanga'?!
  • @
    @shaluumusa76554 years ago MashaAllah jazakaAllah kheyra,inshaAllah ntajaribu nikutag
  • @
    @ummafye29364 years ago Leo nilikua nenda kwa oman haluwa hapa sakina . Shukraan . Jazaka Allahu khairan
  • @
    @mariamnjuki15804 years ago Assalm alykum ...jaman huo unga wa muhogo ni huo unaopikiw ugal au ni mwengn? 2
  • @
    @ahmedrashidali52143 years ago MashAllah kupika Haluwa inachukua how many hrs?
  • @
    @dorroboss4 years ago I like your recipes, but I usually adjust the amount of sugar I use, sometimes the recipes are too sweet and I don't have a sweet tooth anymore. Kudos for great recipes 1
  • @
    @jabrial52954 years ago Hiyo ulotumia ni tapioca flour sio tapioca starch?
  • @
    @samirbazaar22902 years ago Mapishi rahisi Unga wa tapioca unapatikana wapi hapa Mombasa nami nataka nijifunze
  • @
    @rashidramadhani926410 months ago Dada mm nataka nijifunze kupika halua.
    Lakin sijui
    Maan sina kazi ya kujitegemea.
    Nahitaji nijifunze hata kwa malipo nipo tayari.
    Sijui unapatikana wp.
  • @
    @abubakaromar54294 years ago assalam alykum je unaweza kurumia unga wa muhoga wa locally
  • @
    @yuppaali17704 years ago habibty hiyo kikombe unacho tumia ni ml ngapi please yanitatiza shukra kwa mapishi ya halwa-halwa ya seif
  • @
    @ladyfausta74483 years ago Naweza kutumia unga Wa ngano unafaa km Sina hui ungs
  • @
    @athmanali77704 years ago Waaleikum salaam Wow mashallah inaonekana tamu sana please niambie jina lako ni nani ? Unaishi wapi ? Mimi ni binti wa athman ali Naysana please I want you to become my best friend I really like this video thanks for your video bye ...
  • @
    @fatmasaleh27074 years ago mashallah,, nimependa sana .. unga ulotumia unapatikana wapi?
  • @
    @leilamehbub9484 years ago So any mafuta ni sawa tu bt samli is the best
  • @
    @itsafrah._.89534 years ago Yay 😁 I was waiting for a haluwa Recipe 2
  • @
    @aminashee20274 years ago Asalam alaykum.. Masha Allah nimependa Sana ..lkn ungaa huu naaweza pata wapi...Niko malindi
  • @
    @zahramfaume-zi4nwlast year Sorry dear..nataka kufuhamu halwa Unaweza kukaa muda gani bila kuharibka?
    Na ikiwa haikai muda mrefu mpaka kuharibika naweza fanya nini ili kuifanya isiharibike mapema.?!
  • @
    @sumaiyamahamoud24884 years ago Halwa ile ya mombasa kwa ba seif tamu ajab
  • @
    @aishasiyad36414 years ago Assalam aleikum siz I’m in Mombasa nipate wapi hio unga ? 2
  • @
    @melissahnasiche1874 years ago Mapishi rahisi Kama Sina unga wa mihongo naweza tumia ngano🤔🤔🤔🤔
  • @
    @lulusanga23264 years ago A salaam Aleykum un ga huh was tapioca kwa Dar naupata wap
  • @
    @thee_wiseman_4 years ago Sauti taaaaamu kuliko haluwa yenyewe....
  • @
    @muniramohammedmunira3832last year Kama huna unga wamuhogo naweza kutumiy unga wa mahidi
  • @
    @brighterkendy80293 years ago This channel is the best especially am the all time lover of swahili dishes,,, God bless you siz
  • @
    @keziahmwangi24784 years ago It's hard to cook this unless you write down your recipe,not easy to understand this ingredients.