jifunze namna unavyoweza kulima bamia likakupa faida, bamia ni zao la mboga lakini pia linaweza kua tiba, ni kati ya mazao yanayoliwa sanaa na kupendwa sanaa kwasasa, hivyo basi kupitia ukurasa huu utajifunza mbinu mbalimbali za kulima bamia na kukupa faida
Category
Show more
Comments - 43
Related videos for Jinsi ya kulima bamia, jifunze kilimo cha bamia la mgongo chenye faida: