Duration 13:7

WACHAGA KWA PESA: BINTI WA KICHAGA ALIVYOAMUA KUISAKA PESA KWA WACHINA

52 555 watched
0
381
Published 27 Apr 2019

Christina Mori ni binti wa Kitanzania ambae anasoma China ambapo akiwa huko ameiendeleza spirit ya ‘kichaga’ kwa kuwauzia Wachina idea ya kupika vyakula vya Kitanzania na sasa anaingiza pesa kwa kulipwa na Wachina.

Category

Show more

Comments - 79
  • @
    @eugenfredrick23285 years ago KAMA WEWE NI MCHAGA GONGA LIKE APO👆,KUMPA CONGRATS, 150
  • @
    @mbuleeflow94405 years ago Kama wewe ata china unapasikia gonga like apa😉😉😉 105
  • @
    @emmanuelshayo70235 years ago wachagga like zenu hapa 2juane!!! heleri 118
  • @
    @cathelinemsenga69535 years ago Hapo Mwika headmaster Mr Mlay....wengineo mwlm Makyao, Mlaki, Meena nk 7
  • @
    @casandrahhelman76395 years ago Life yyte ya nje ni magum xna.. tuna vumilia tu. Good idea and patients. God knows how. Congrats. Keep it up.🤗 10
  • @
    @Itarusii5 years ago Ugumu wa maisha kipimo cha akili. Msemo mzuri 14
  • @
    @hashimabdalah31615 years ago Hongera sana sstr tina wangu Ilove you 😘😘 5
  • @
    @YusufAli-ib6xu5 years ago God bless you for your hard work
    Your family should be proud of you
    And Tanzania should be proud of you for your hard work and big example to everyone
    18
  • @
    @halimaabdulaziz51435 years ago Asante mama nakupenda mpampanaji wangu wadada mfano uo popote ni mahali pa kazi cha muhimu kutokiuka sheria za dini yako basi 1
  • @
    @aichaabdul58445 years ago Hadi huku Liberia na Ivory Coast nimekutana na hawa wachaga, wako kama wamasai karibu kila mahali wapo. Walioko huku Afrika ya magharibi tujuane 3
  • @
    @zawadymaluku80395 years ago Wachaga hatujawahi kosea kwa utaftaji Wa pesa 20
  • @
    @jideysamy38065 years ago kama unatukubali sisi wachagga like hapa 26
  • @
    @habibujullius84585 years ago Nimekuelew pamban,
    Mungu awe nawe,
    Cna ndoto za kufika chin ila. Ngoja nizianzishe sasa
    3
  • @
    @mzazi155 years ago Nilikuwa nimezoea kula pale Madina ila sasa ntakuwa nakuja kula kwako asee... Ungikorie kyumbo na machalari 35
  • @
    @goldertatu13545 years ago Anaongea Kama Nai wa Moni! .. Kama unakubaliana na mm.. Gonga like 4
  • @
    @jackiedeshirima55715 years ago Good job mama chagga wapambanaji proud of our tribe
    Hongera mama
    Nitatafuta connection na wewe
  • @
    @cindymacho52825 years ago Mkinga ndio kiboko ya wachaga useme niwakimya ilawanajuwakukusanya Hao watu wanamake na kuna makabila hayo toeni like 3
  • @
    @belindagiliard89775 years ago Wachagga ni wayahudi wa Tz,.the more you hate them the more they explore 31
  • @
    @arnoldnminja34765 years ago 🙊 21,000/= vya loko hivo.kweli unazimeki.ngoja nijeona dada yangu... 7
  • @
    @marygaspar64295 years ago Hongera Manka! Mungu akusimamie kielimu na kikazi! 9
  • @
    @evonrn20005 years ago Madam tupe infor ya HoteIi lako tuta leta biashara....shukrani. 1
  • @
    @ladislausngoyinde43845 years ago Unaulizwa umezaliwa na kukulia wapi, unajibu ww ni mchaga😁😁😁😁😁😁😁😁😁 lkn hongera kwa kujiongeza 7
  • @
    @benardmartine2445 years ago Hakuna Kitu Sema Mnapenda sifa Za Kiwehu, ila kuna Makabila Yanapiga Note Kimyakimya 4
  • @
    @ipyanaibrahim41225 years ago Jaman kasoma radiology diploma au maana miaka mitatu 1
  • @
    @judithmremi975 years ago jamani dada nimekupenda dada yangu aika mae 2
  • @
    @judithmremi975 years ago daah umepanusha akil yangu nilikua nimeshakata tamaa daah ninekupenda dada yangu 1
  • @
    @sellah46035 years ago Nyuma ya camera Yuko nanini au ni boss
  • @
    @saidshatry5585 years ago Big up sana ila tuliomba tupewe location ya hapo Xiobe ili tukija iwe wepesi kupajua 2
  • @
    @arnoldnminja34765 years ago Mshikyi oko.ngyikeri njieny.ngechelya iho kopfo monowama.ngyiukyie iha mtonyi.. 3
  • @
    @mariammbughi27025 years ago Wachina Mimi siwaamini hawachelewi kuwaungia mboga na mafuta ya nyoka 3
  • @
    @hamidyhashimu68075 years ago Duuuuuuh...still ni ishu...nilijua umeanza from scratch.