Duration 9:2

HIZI NDIO TAFSIRI ZA NDOTO YA DHAHABU | UKIOTA DHAHABU | MIKOSI, NJAA, MABALAA, SHIDA, UFALME NK.

11 355 watched
0
110
Published 20 Mar 2021

HIZI NDIO TAFSIRI ZA NDOTO YA DHAHABU | UKIOTA DHAHABU | MIKOSI, NJAA, MABALAA, SHIDA, UFALME NK. #Masjid_Mtoro_Online_Tv #Ndoto_Natafsiri

Category

Show more

Comments - 23
  • @
    @mamamuu82173 years ago Subhanallah Allah atuepushie na balaaa,maana nimeota nimeificha hiyo dhahabu Allah aninusuru 🤲🤲🤲 3
  • @
    @user-vk2ir7vn5q5 months ago Mwenzangu aliota anamfuko wa Dhabu alikua anakimbia kuzificha alikua anakimbizwa
  • @
    @marymarwah8285last month Mm nimeonta nimeokota cheni ya shingoni ya dhahab na silver.
  • @
    @emmanuellaban16353 years ago All the best our shekh Allah will continue bless you and your family.
  • @
    @user-wi6vv5ye9h7 months ago Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh, nimikuwa naulizo mimi niliota Niko na kipate kikubwa cha zahabu, alakini pako mwenye iko ananikimbiza juu Ani nyaganye ni kaificha, nikaenda na vipande vidongo inamanisha Nini?
  • @
    @AlMANSOORKISONGERA-hp8ctlast year Nimeota nimevaa pete ya dhahabu inang'aa sana watu mpaka wNanishanga
  • @
    @dab88593 years ago A.alaykum shekhe mm nimeota niko dka la Dhahbu lkn sikununua nliona tu mkna dka n vtu vyke nikaondka nlikua n mmngu nimeota leo
  • @
    @hemedhaulee2 years ago Mbna kila watafsiri wapo tafauti kila mtu anatafsiri kivyake kuusu doto ya dhahabu 3
  • @
    @user-xs5sq4he5u3 months ago Je ukiota umevaa mkufu wa dhahabu maana yake
  • @
    @jolieingabire19923 years ago Mimi nimeota Leo nimeokota ma cheni ma pete kibao za ile nyeupe sijui kwa ki swahiri wanaziita aje?
  • @
    @awaahassan9362 years ago Mimi nimeota nimevaa Pete ya dhahabu tupu yaani Pete yote ilikua dhahabu
  • @
    @frankyusuph80002 years ago Na vp ukiota wew unauza dhahabu wewe mwenyw nisaidie
  • @
    @shehanimzee9953last year Huyu shekh yeye anazungumzia zahabu tu Hana chengine
  • @
    @hafswaabdallah61142 years ago Sheikh nini mana ndoto kuchuma majani tafauti
  • @
    @suma6433 years ago Mmmh mbona inatisha sasa minliota nlivaa cheni ya dhabu wezi wakataka kunipora hawakufanikiwa halafu hautupi majibu ya ndoto zetu tukiziandka 1
  • @
    @aboudjuma5233 years ago Shee nin maana yakuota umepata madini ya rubie
  • @
    @yunisalfarsi61683 years ago Nini maana ya kuota unagawa pesa kwa watu
  • @
    @MukamusoniHawa-cj2yc8 months ago Mimi nimeota Nikiona shimo nilivochungulia ndani ya tundu la shrimo nikaona ndani ya shimo hilo kuna mto unamaji yanatembea Kati ya hayo maji kuna thahabu kubwa Ina maana gani?
  • @
    @awaahassan9362 years ago Kuona saa za dhahabu na za fedha hii nayo inamanisha nini shekh