Wengi wetu tumezisoma sana habari kuhusu Zanzimana Ellie (22) wa Rweanda ambaye amekuwa gumzo kutokana na kufananishwa na Nyani ama Sokwe ambapo Mama yake alisema Kijana huyu toka alipozaliwa amekua akipenda kukaa msituni na kujitenga na shughuli nyingine za kawaida za Binadamu, taarifa mpya ya leo inasema wamejitokeza Wasamaria wema na kumpeleka Shule.
Category
Show more
Comments - 149
Related videos for BINADAMU ALIYEFANANISHWA NA SOKWE RWANDA APELEKWA SHULE, MIAKA 22 HAJUI KUZUNGUMZA: