Duration 3:35

BINADAMU ALIYEFANANISHWA NA SOKWE RWANDA APELEKWA SHULE, MIAKA 22 HAJUI KUZUNGUMZA

110 109 watched
0
605
Published 20 Oct 2021

Wengi wetu tumezisoma sana habari kuhusu Zanzimana Ellie (22) wa Rweanda ambaye amekuwa gumzo kutokana na kufananishwa na Nyani ama Sokwe ambapo Mama yake alisema Kijana huyu toka alipozaliwa amekua akipenda kukaa msituni na kujitenga na shughuli nyingine za kawaida za Binadamu, taarifa mpya ya leo inasema wamejitokeza Wasamaria wema na kumpeleka Shule.

Category

Show more

Comments - 149