@WATETEZITV Nilitoroka tanzania kwa sababu kuna watu wakubwa walitaka nife, na watu hao hawajawahi kutajwa. Nimeomba kuzungumza na Mama na ninasubiri majibu, lakini sitangoja milele, kuna wakati utafika nitamwambia nakuja nyumbani.
Tundu Lissu.
Category
Show more
Comments - 366
Related videos for ALICHOZUNGUMZA TUNDU LISU BAADA YA KUZINDUA KITABU CHAKE NCHINI KENYA: