Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kuhitimu elimu ya msingi ambapo ufaulu umepanda kwa asilimia 4.96 kwa mwaka 2018. Ufaulu wa masomo ya Kiingereza, Hisabati, Sayansi, Maarifa ya jamii wapanda wakati Kiswahili watajwa kushuka.