Leo Tarehe 6/5/2020 yamezushwa maneno kwenye mitandao ya kijamii kuwa Sheikh Nurdeen Kishk amekufa, na hii imetokea baada ya Sheikh Nurdeen Kishk kupost picha ya msiba wa sheikh Kilemile wakiwa pamoja katika picha iliyotumwa katika mitandao ya kijamii ya sheikh kishk. SHEIKH KISHK YUPO HAI MZIMA WA AFYA KABISA TUZIDISHE KUMUOMBEA DUA
Category
Show more
Comments - 173
@
@saadiashariff9204 years agoMola atulindie sheikh nuruudeen kishik. Ameen thumma Ameen. kifo ni haki lakini mwenye kumtakia muislam kufa ni hasidi, lakini hakuna atakaye amrisha kifo ni Allah wala sio matamanio yenu. kwa sheikh wetu kishik Allah akuhifadhi fii duniya wal akheera. huyu sheikh wetu aliyetutangulia Allah ampe janatul firdaus, Ameen thumma Ameen ...2
@
@zakiamselem16564 years agoAllah akupe afya sheikh wangu uzidi kutuongoza 2
@
@raiyansuleiman94624 years agoInalillah wainailaih raj'un Allah amjaalie nuru katka kaburi lake aipe faraja familia ake ndg jamaa na marafk piaaa ...Allah akupe umri mrefu wenye manufaa sheikh 8
@
@bidalamwachedi28854 years agoAllah akupe umri uweze kutuongezea elimu,na pia akuepushe na mahasidi na dhana,usife moyo kwa uzushi ameen🤲🤲
@
@Shalwadesign4 years agoAmin... Mwenyezi Mungu atakujaali umri mlefu undelee kuitanga gurudumu la dini. Mwenyezi Mungu amlaze pema peponi marehemu Amin Thuma Amin.
@
@hadijangina70254 years agoAllah hakupe amri murefi makah miya na miya nooradin kishki ni dakalul janatul fardos nakutakiya hiyo insha Allah ameen 1
@
@bellbell92944 years agoAllah akujaalie umr mlefu na afya njema yenye kher na barka sheikh wetu uzidi kutuelimisha ss mahamma Aamiin
@
@khadijamikdadi8614 years agoAllah akujalie maisha marefu lnshallah 🙏 13
@
@islamismydeen84004 years agoMash Allah.....Allah S.W.T akujàlie maisha marefu ili kuwaelimisha waislamu
@
@ifkamedia83344 years agoHiyo ni maisha marefu sheikh Allah akupe maisha marefu inshallah. Torch ya dini ya islam
@
@husseinsharriff60414 years agoAllah a kupe umri mrefu sheikh wangu ,wamekuzulia mengi kwa vigezo eti wanakukosoa .Mimi ni mmoja wahao walio shtushwa na Jambo hilo Alhamdulillah ninafuraha Sana kukuskia tena wewe ukiongea hasa ! Allah akurehemu sheikh wangu ...4
@
@adibandagile25524 years agoAllah akujaalie umri mrefu na weny manufaa 1
@
@faudhiaramadhani46754 years agoAllah akuhifadhi akupe umri mrefu sheikh nurdin 2
@zahraahmes74194 years agoAllah akupe umri sheikh wetu tuzidi kufurahia darasa lako 3
@
@sein.2084 years agoINNAH LILLAH WAINNAH ILEHY RAJIUN. ALLAH AMJAALIE MAKAAZI MEMA NA WOTE WALIOTUTANGULIA MBELE ZA HAKI. Nasi Tuzidi kumwomba Allah atujaalie mwisho mwema Umat Muhammad. 10
@
@ziadamaulid90894 years agoAllah akupe umri mrefu uziidi kutufundisha ila kilichowachanganya wengi kwenye ile picha ni kuweka picha zote pamoja yaani picha yako we na ya yule shehe aliyefariki .hivo ilimpasa msomaji kusoma kwa makini zaidi 1
@
@maryammct39674 years agoAaallah akupe umri mrefu nakuhifadhi amin yarab shekh nuru
@
@salamazuberi77354 years agoMwenyezimungu akujaalie umri mrefu inshaalah ili uzid kutuelimisha zaid inshaalah yarrab 2
@
@shamimhayat76374 years agoMwenyezi Mungu akulinde, na akupe umri mrefu wenye kheri na wewe. Waislam tunakupenda
@
@mowanaalmowana61264 years agoAllah akujalie afya njema na Allah amruzuku pepo marehemu 1
@
@sophiamyvideosngomahome4394 years agoAllah akujalie umri mrefu wa hapa duniani na kesho Akhra sheikh.
@
@hajjmohd36024 years agoNakuombea kwa Allah akupe umri mrefu uendelee kutuelimisha , wallah tunakupenda sana ingawa wengine wanakuchukia na kukuchafuwa , piga kazi huku ukitarajia malipo kutoka kwa Allah s.w.
@
@saadakiyungi64374 years agoAllah akupe maisha marefu yenye kheri na barka ndani yake
@
@rahimwilliam41964 years agoM/Mungu na aendelee kukuweka hapa duniani Sheikh, bado una jambo unatakiwa kuufanyia uislam. 2
@
@irakozenurah89904 years agoAllah akupe umri mrefu wenye baraka tele sheikh wetu 2
@
@faridaalwaily42604 years agoAllaah Akuhefadhi sheikh nurdin kishki.umriey mrefuu mwemaaa in sha Allaah
@
@mbarakadadi52064 years agoAllah akupe umri mref sheikh wetu allahumma amein. 4
@
@jamilatwaha72584 years agoMungu akuhifadhi na akujalie umru mrefu wenye kheri na wewe na amrehemu sheikh kilemile 2
@
@khalfansuleiman62064 years agoSHEIKH ALLAAH AKUPE UMRI MREFU WENYE KHERI HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA ALLAAH ATUJAALIE MWISHO MWEMA 1
@
@hawamhanga29514 years agoMm nakuombea kwamungu akupe umri mrefu wenye baraka uendelee kuutetea uislamu wetu mpaka utimize malengo ya uislam mm nakupenda kwaajili ya allah 1
@
@asharichard54034 years agoMwenyezi mungu akupe umri mrefu shekhe wenye kheri ndani yake na amrehemu kaiongozi wetu kilemile 🤲🤲🤲 2
@
@zulfamohamed45494 years agowalaykum salamu walahmatullah wabalakatu naam watu siku izi wanapenda kuzushia watu kufu subuhanallah nimtihani mkubwa sana jaman binadamu Allah anawaona jaman ila Allah akupe umri mrefu piya alie tangulia Allah amraze mahara pema pepon ...2
@
@aminahassan40874 years agoAllah akupe umri mrefu wenye khery amiin
@
@ashamasudi94414 years agoAllah akuzidishie umri zaid lnshaAllah
@
@halimaalimwamajeni62914 years agoAllah akuzidishie kilala khery Naakuzidishie umri mrefu na aliye tutangulia Allah amulaze pema palipo nawema peponi Amina Nshaallah 4
@
@alitesco49434 years agoAllah akupe umri mrefu wenye barka ishallh umri mrefu
@
@fitondefu87724 years agoAllah akuzidishie maisha marefu inshallah 🙏
@
@abdoumohamed70954 years agoShukran ustadhi NOORDEEN MUNGU AKUPE UMURI MREFU ILI TUPATE KHUTUBA ZAKO NJEMA MIMI NI ISMAELA MOHAMED WA COMOROS
@
@aminaabdallah77024 years agoMungu ya kuweke hayi pamoja n'wa islamu yote duniani tu epukane navisa za wabeberu na covid 19 yitawapiga wegnewe icha allah 2
@
@fatmadamasi68804 years agoAllah akupe umri mrefu na alotutangulia Allah ampe janatu nagheem🌹🥀🥀🌻🌻🍀🍀🍀🌿🌿 3
@
@ashurakigoma26284 years agoAllah amuhifadh sh.wetu tunakupenda bado
@
@fatmakassim20704 years agoALLAH akupe umri mrefu wenye kheri na baraka na azidi kukuhifadhi zaidi sheikh wetu 3
@
@sakinabakari98134 years agoN.a. hata mm pia nilishikwa na huzuni kweli kuhusu taarifa kuwa kishik amekufa kufa ni wajibu ila jua shehe kuwa ni namna gani tunakupenda sana Allah akupe umri mrefu 1
@
@user-gy8lk8te8d4 years agoAllah atupe umri sote,kifo ni chetu sote Allah atujalie mwisho mwema
@
@samsungjsevenprime57174 years agoAllah akuzidishie umri wenye afya njema uzidi kutuelimisha umma jamii waumini ulimwenguni 2
@
@mifungaanyesi35474 years agoSheikh Nurdin Mwenye Mungu akupe umri mref,na alie tutangulia Mungu amwekee nur ndan ya kabr 1
@
@hamisihamisi50784 years agoAllah akuhifadhi Sheikh wetu Nurdeen Kishk.
@
@sumaiahamimu67054 years agoYAARAB namuomba Allah akupe umri murefu tunakupenda saana SHEIKH. Piya na Allah nafahamu na in shaa Allah SHEIKH upo muda wako upo. Allahuma Aamin 2
@
@fatmaaly30564 years agoAllah akupe amri mrefu mimi pia nishawahi kukadiriwa kifo na nilikua 2014 natoka madra nakuta watu nyumbani na wengine wanatoka sehem mbambali baba alikua ameinda kwenye mihandaiko yake watu walijaa na walipo niona walishaangaa sana allah anipe umri mrefu wenye khei na nipo hai nimeshaolewa nimeshazaa alhamdulilah yaraby wewe ni mkweli wa wakweli uongo haufai jamani ...
@
@zaby-n-mamashasha66714 years agoMaashaAllah fatabaraka Allah ,Mungu akupe umri mrefu shekh wetu 2
@
@mwaamwetahussain99474 years agoAlhamdulillah shekhe Kishiki nilimechanganikiwa sna maana natamani nikuone daima ktk maisha yangu Allah akupe umri mrefu Alla.azidi kukuafu jmn 2
@
@al-hilalijuma87794 years agoShekh kishik Allah Akujaaliye umri mrefu achana nao hao wanakuongezea umri TU 🙏🙏🙏 2
@
@khadijaismael50324 years agoSubhanallah....ama kweli msema kweli kwa watu huchukiza.may you live long by the grace of Allah
@
@khadijamikdadi8614 years agoAsallam allaykumu shehe nurdeen kishk samahani Sana nilikuwa naswali nauliza mm naweza kusoma lakini mpaka niandikiwe na mwalimu kwenye kitabu siwezi kila nikijitahidi nimeshidwa zikiandikwa naweza kabisa nifanyaje sheikh 2
@
@sakinabakari98134 years agoWasamehe bure shekh wangu hakika bado wengine tunakuhitaji 1
@ramak.95874 years agoHapakufi mtu hapa ila kwa amri yake Allah. Mtaua na kuzika upepo hadi kiama kismame.Allah akupe umri mrefu Insha Allah tuzidi kufaidi na kuelimika kupitia hutuba zako
@
@ondegesauda70284 years agoInna lillahi wainna ileihi rajiuun,Allah amlaze pema peponi.......Allah akuzidishie umri sheikh 2
@
@bahatihadijabahati74564 years agoPole sheikh wetu Allah akupe subra kwa kila jambo In shaa Allah 2
@
@emanuelmmbaga58354 years agoInalilah wa inalilah rajiun..allah amrehemu. Nawe Allah akupe umri mrefu 2
@
@mohamedadan71604 years agoMashaallah, ameen thuma ameen sheikh mungu amjalie janatul firdowsi
@
@asdasdd82324 years agoInnalillah wainnailayh ranjiuun Allahu akupe umri mrefu 1
@
@ukhtyanasabintimalikimalik71884 years agoKatika maandishi walikosea kichwa Cha habari ndomana watu wakanukuu vibaya Ila tunaomba duwa aendelee kufikishia fatwa zake in sha Allah
@
@wlkmwlkm84864 years agoAllah akupe umri mrefu wenye baraka.wa Tanzania hawaishi vituko wao ndio walio tangaza Sheikh Yusufu Abdi amefariki.leo kazua lngne wenye uzushi km huo muogopen Allah 2
@
@bebisheni43804 years agonamuomba mwenyezi mungu akupe afya nurdin Shekhe wetu allah akupe uhai
@
@rutahalima14004 years agoInna lillahi wa inna ilayhi rajiun Allah amlaze mahala pema peponi 1
@
@salmalyana52874 years agoAllah akujalie uhai mrefu na Afya njema shekh,,,waislam tusiharakie kupost bila ya jambo kulifanyia uchunguzi wa kina.
@
@ajicksbintydeiyshbintydeiy83414 years agoInnalilahi wainnailehi rajiun Allahuma Amiin thuma Amiin 1
@
@liezlalba17904 years agoAmeen ALLAHUMMA Ameen Allah akuhifadhi sheikh wetu kipenzi
@
@marinamooh40554 years agoInna lillahi wa inna ilayhi rajiun Allah ampe kauli thabit InshaAllah Ameen InshaAllah 🤲🏿
@
@ummuzubeyda74024 years agoAmeen ya rabbal aalameen May Allah give you Jannatul firdows inshallah. Death and life is in allah’s hands. 3
@
@shabanijuma20854 years agoWa islamu Sasa tumebadilika Sana hatuna hofu tena na Allah uzushi Wakati tumefunga .Tumekuwa wajanja janja sana namna hii siju Kama tutapokelewa tubadilike .
@
@mugilason27274 years agoNakupenda kwa ajili ya ALLAH ndugu yangu, kila hatua dua. Mti wenye matunda ndiwo wenye kupigwa mawe.
@
@halimaramadhan29754 years agoInalilah wainailay rajiuun...Amiin Thumma amiin kwa dua 1
@
@wesleyamzatijhon97674 years agoSheikh wangu Mimi napatikana zambia ila nilipo sikiya abari kwenye mtandao mwili ulinisisi mka sana ila mungu akujalie kilalaheri 2
Related videos for SIJAFA NIPO HAI SHEIKH NURDEEN KISHK. UJUMBE WAKE LEO TAREHE :
Allah amjaalie nuru katka kaburi lake aipe faraja familia ake ndg jamaa na marafk piaaa ...Allah akupe umri mrefu wenye manufaa sheikh 8
ALLAH AMJAALIE MAKAAZI MEMA NA WOTE WALIOTUTANGULIA MBELE ZA HAKI.
Nasi Tuzidi kumwomba Allah atujaalie mwisho mwema Umat Muhammad. 10
Allahu akupe umri mrefu 1
Allah akuhifadhi sheikh wetu kipenzi
Ameen InshaAllah 🤲🏿