Hotuba ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (#CHADEMA), Freeman #Mbowe akifungua Mkutano Mkuu wa kuwapitisha Wagombea wa Urais #Tanzania na Mgombea Mwenza pamoja na Mgombea Urais wa Zanzibar mnamo Agosti 04, 2020
Wagombea hao ndio watakaokiwakisha Chama hicho katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 28, 2020
#Uchaguzi2020