Lissu avunja rekod tena,Maelfu ya watu wampokea leo kwa staili ya ajabu,Anena Mazito!
Category
Show more
Comments - 219
@
@norbertmbumi65104 years agoHukisema katiba mpya najuwa mzee warioba hanafulai sana. 6
@
@chrismwanakwetu52504 years agoUpo vzur kwa hoja nakuelewa kumbuka kusali n kumuomba mungu kwa yote unayodhamilia.
@
@withmanelick8694 years agoUchaguzi huu utkuwa mzuri tunaomba aman kwa jeshii letu. 1
@
@amedeusnikolaus16814 years agoSera nzuri ninidira sahihi ya mwelekeo halisi wa nchi.
@
@gracegrace35304 years agoMaguful kwanza, labda kwa wabunge na madiwani. 2
@
@stephanokigosi6564 years agoMuhuni kajibu issue ya maji kisiasa sana. Aseme atatumia njia ipi kuleta maji hapo sio kumuattack dr jpm. 4
@
@salumjonas76364 years agoBinafsi ninaamini katika haki kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa nchi hii pasi kuzuiwa na kelele za mtu yeyote awaye isipokuwa bwana wa yote, sembuse tundu. ...Expand6
@
@yusuphjonathan85924 years agoWakwanza ninyie ndo munaomba kwan kila mnapo pita munaomba muchangie ela yan munasema et raisi wawanyonge mbona unawaomba ela wanyonge bada ww ndo uchangie uwasaidie wanyonge. 1
@
@zainabuhussein40554 years agoKwan chadema ni chama gani mbona sijawahijibu jamani.
@
@mainguburemo61864 years agoMnaunganisha picha mafuriko gani subiri 28 october.
@
@estarjuma79834 years agoMbona wapo tofauti na nilivyo ona pictures ajaze lkn 28 itawanyoosha. 1
@
@lussevv17164 years agoKisauti kinachoanza cha mtangazaji huyuvisaut vyakuigiza mpk nikikisikia tu nakirusha. 1
@
@petromwakyalabag94844 years agoHata kwenye jimbo lako hukutatua tena miaka yote ya ubunge wako. 1
@
@diamondgeyser79874 years agoLimo media/chagaterehe 28 ngebe zenu zitaisha. 1
@
@amanihamidu92134 years agoMy beautiful president tundu lisu iweke tena tanzania kwenye map. 3
@
@onesmokigomba81824 years agoLisu fanya mabadiliko ya kweri ccm tumechoka ni miaka zaidi ya 60 upnzni komaeni.
@
@a2gmgimwa34 years agoSasa kuvaa barakoa hivyo ndo watu wasio julikana hawa.
@
@habibrwegoshora66244 years agoLissu kama mgeni tz. Ndio maana hana sera zaidi ya kumzungumzianzima shida zipo tu kudanganya watu. 6
@
@vicentdeogratias46254 years agoKalime alizet wew unaongea pumba gan wew.
@
@mariatuku3594 years agoMungu ashachagua raisi tayari yy ndio anajua muongozi wa nchi hapo tarehe 28th ndio tutajua mbivu na mbichi 11 days more god bless tz. 5
@
@mainguburemo61864 years agoMmetengeneza bango wenyewe. Hamna mafuriko hapo. 1
@
@jayfatmitas53034 years agoHatujahi kwenda kuombaomba labda wewe ndio unaombaomba urais.
@
@francisosward69304 years agoHupati uraisi wewe mbio za sakafuni mwisho wake ukingoni umetuweka sisi ni mapoyoyo ongea utatufanyia nini wewe huna jipya. 1
@
@a.katunzi58154 years agoNasema tena; hizo siyo kura za ndiyo. Hao ni wasikilizaji na wachambuzi. na, picha hiyo imetengenezwa tena kizembe. Angalia msitari wa kuunga hapo katikati! 28 ije. 1
@
@jamessichimata31004 years agoJiandae 28 october kurudi uberigiji utakuta geto lako limeliwa na panya. 5
@
@ayshakayeko20434 years agoMatokeo ya mafuliko ni 28trh wakwanza leo like zenu. 4
@
@saidikhalidi81494 years agoInamaanisha hata wewe hauwezi ndio unamaanisha ivyo.
@
@linuspapiasmanywele34144 years agoTarehe 29 mwisho wa chadema kufa kabisa. Nahaho wote wanao kusikiliza wata kigeuka na utabaki macho kodooo. 1
@
@nishasalim28804 years agoMafuriko ya ccm wameweka kwenye headline ya lissu. hata aibu hauna wewe thobias marandu. umegundulika.
@
@christiankiponda46394 years agoWalijiandikisha, ndio watakaopiga kura, hiyo nyomi ni mashabiki wa mikutano, tu, wapiga kura hawana vurugu. Wao wanangojea siku ya tarehe 28/10/2020. 1
@
@saadatabdallah32754 years agoMnaanza hira za kusema uvamizi umeanza nchi ili mufute uchaguzi mbona mnatapatapa sana mmeshakuwa wafa maji. 3
@
@frankjohn85704 years agoHeri kuhutubia kundi la watu elfukumi kuliko milioni waliokusanyika kucheza singeli maana huna uhakika nao kama nikukusikiliza au kucheza mziki nakukumbuka mziki wasikumbuke kusudi la kusanyiko.
@
@samwelhiinyamhangahiileosi10604 years agoMiezi yote iyo unalalamika2 haina chakuongea tofauti na kuhibili habari ya magu, au haukuona kilichotokea siku magu anaenda dar icho ni kipimo tosha mwenye. ...Expand7
@
@saidimasudi64504 years agoHizo picha za kupest ngojeni tarahe 28. 6
@
@teddyoscar68764 years agoSasa unataka wakaombe bank? Magufuli ndie anaezisimamia kodi na pesa zote sasa wewe unata wakaombe wapi kwani hao wanajua hizo pesana kutunzwa kwake? Kwenda kule shenzi mkubwa. Hao unaowaambia ni washamba hawajielewi kabisa. ...Expand
@
@joshuambwilo59284 years agoTena wewe ndiyo fisadi lenyewe sasa sela zako hazina kichwa wala miguu sela za mfa maji hizo magu mwaka huu tena atashinda mara 3 kuliko mwaka 2015. 1
@
@stevenmasato57874 years agoNyie lyimo media mbazingua. Hayo mafuriko yako wapi sasa. Mnazingua sana.
@
@eddahmwasiposya11464 years agoIla kiukweli kila kitu kiko wazi labda kama nimaandalizi ya baada ya 5 sawa vinginevyo kuna ugum mkubwa sana.
@
@martinemaganga25464 years agoKwani tatizo la maji limetokea wakati wa magufuli? Huwezi kuijenga inchi kwa siku moja. Acha kutudanganya.
@
@lucymangwela52754 years agoSio wote watakao mpigia kura, wengine ni wasindikizaji tu msidanganyike na umati wa watu. Ccm tena 5. 6
@
@asteriakimbi71834 years agoWewe nichiz kweli ulitaka wateuliwe na nani. 3
@
@allysalim24974 years agoHaya oneni vijana wa ccm na nijuwe wote munaemkadhifu na kumtukana ndie huyo je huyu ndie chizi au nyie ndio machizi. 1
@
@elminakalunga40304 years agoHivi mungu asingesimama nasi kuifukuzaia mbali corona, lisu angekuja tz kweli? Hakika jpm ni jembe! 5 tena, huyu lisu hawezi! 1
@
@ayubumohamed35154 years agoWe fara acha kumtaja magufuli ongea sera utafanyia nini wtz.
@
@grace-zj6sq4 years agoJpm nakupenda bure baba magufuli kura yangu kwa jpm. 2
@
@stephanokigosi6564 years agoIssue ya majimbo unakunya kaka lissu. Acha ukibaraka huo, mwenye akili hawezi kumsikiliza muhuni. 7
@
@khamishemedsaid21344 years agoLakini na wewe ikiwa rais pia utaobwa pia kila kitu hujapata tu. 1
@
@zubeirsalum1284 years agoHata wakitukana kwenye koment haki ikitendeka lisu ndio raisi. 3
@
@yasinsalum29134 years agoCc waslamu tunakuunga mkono lisu kw sababu tunazo nia tunazo na uwezo upo lisi tamba tu wajinga wamoja wana pewa sumu cc tunajua kbsa.
@
@tizzomushi40724 years agoDah! Lissu umeongea point kubwa sana sasahivi hata mwenyekiti wa mtaa anatunyanyasa hakuna sehem ya kwenda kujitetea ukitaka ukaeleze police haki yako ipatikane wanakuweka ndani tutateseka mpaka lini. 7
@
@francisosward69304 years agoWewe tundulisi sikuelewi kila siku magufuli, magufuri huongei utatufanyia nini mpaka nina kuchukia sasa. 2
@
@nassirmasoud25454 years agoSasa wewe pia unataka huo unusu mungu? 1
@
@mduduemmanuel45854 years agoNahisi hata ccm hapa watakuwa wameelewa. 1
@
@marcobulili43414 years agoHapo nmekupongeza kwan umeeleza sera ambavyo ulitakiwa ufanye hivyo wakati wote. 2
@
@geraldmwandolela85354 years agoHakika taifa linaitaji mabadiriko huyu mtu ana matangazo ata hivyo vya habari hapati saport ya kutosha ni mda mwafaka kwa watanzania kukubali mabadiliko. 4
@
@selinamilanzi44514 years agoAcha kumtaja magu wetu we ongea sera kama nina sera ziba domo lako plactar. 2
@
@mrdeniskomba25964 years agoTanzania raisi yupo tayari tangu miaka mitano iliyo pita, haya mengine ni kutimiza katiba tu. 6
@
@saidhg4834 years agoSisi hatutaki ushoga ktk nchi yetu nenda hukohuko ulaya.
@
@mainguburemo61864 years agoUtaolewa tu wewe. Usipomtaja jpm utaolewa na wazungu. Usipoolewa mwaka huu! Hizo sera ni tofauti na huko ulikokuwa. Kwa hiyo kwa hiyo hupati. Leo huna. ...Expand
@
@mozakhamis72534 years agoHuyu ni raisi wakweli mungu amemkubali. 1
@
@martinemaganga25464 years agoHata wewe ukipewa inchi hii huwezi kuijenga kwa miaka mitano labda sema jingine kama singida tu haujafanya lolote wakati wa ubunge wako, je ukiwa raisi?
@
@mozakhamis72534 years agoTanzania imekuwa ni nji isiyo na shariya inaendeshwa na mjinga hahe hohe. Hajuwi nini maana ya cheo chake anabanguwa mpaka wananchi anawafukuza ovo m id="hidden11"akazini mtu anaofosi yake hamuiti anamtukana hadharsni aibutu tanzania kuna kinyango na vituko vitu. Akuschiwa mwadazimu rungu mitano trna mutatafutana. Nadhani jela ndio itakuwa makazi makubwa kuliko nje poleni sana watanzania. ...Expand1
@
@justinnyariiloveyu76274 years agoIvi mbona kilakitu ni chaccm kwann redio zao tiv zao kilakitu niwaootu ivi wapinzani sio wa tanzania? 1
@
@hamadali91594 years agoLazima tumuombe sababu watendaji walikuwa wabovu na maslahi yao. 2
Related videos for Lissu avunja rekod tena,Maelfu ya watu wampokea leo kwa staili ya ajabu,Anena Mazito:
na, picha hiyo imetengenezwa tena kizembe. Angalia msitari wa kuunga hapo katikati!
28 ije. 1
hata aibu hauna wewe thobias marandu.
umegundulika.